Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 naye asimlete kwenye mwingilio wa hema la mkutano+ ili kumtoa awe toleo kwa Yehova mbele ya maskani ya Yehova, mtu huyo atahesabiwa kuwa na hatia ya damu. Amemwaga damu, naye mtu huyo lazima akatiliwe mbali kutoka katikati ya watu wake,+

  • Waroma 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana kabla ya Sheria kuwako dhambi ilikuwa katika ulimwengu, lakini mtu yeyote hahesabiwi dhambi wakati hakuna sheria.+

  • 2 Wakorintho 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo+ alikuwa akiupatanisha ulimwengu+ kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa+ yao, naye alitukabidhi sisi lile neno+ la upatanisho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki