Zaburi 35:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ee Yehova, utaendelea kuona hayo mpaka wakati gani?+Uirudishe nafsi yangu kutoka katika maangamizi yao,+Naam, yangu iliyo ya pekee+ kutoka kwa wana-simba wenye manyoya shingoni.
17 Ee Yehova, utaendelea kuona hayo mpaka wakati gani?+Uirudishe nafsi yangu kutoka katika maangamizi yao,+Naam, yangu iliyo ya pekee+ kutoka kwa wana-simba wenye manyoya shingoni.