Zaburi 40:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na hao washangilie na kukufurahia wewe,+Wale wote wanaokutafuta.+Na waseme daima: “Yehova na atukuzwe,”+Wale wanaopenda wokovu wako.+
16 Na hao washangilie na kukufurahia wewe,+Wale wote wanaokutafuta.+Na waseme daima: “Yehova na atukuzwe,”+Wale wanaopenda wokovu wako.+