Zaburi 56:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Katika umoja na Mungu nitalisifu neno lake.+Nimeliweka tegemeo langu kwa Mungu; Sitaogopa.+Mwenye mwili wa nyama anaweza kunitenda nini?+
4 Katika umoja na Mungu nitalisifu neno lake.+Nimeliweka tegemeo langu kwa Mungu; Sitaogopa.+Mwenye mwili wa nyama anaweza kunitenda nini?+