2 mtu ambaye Mungu wa kweli humpa utajiri na mali na utukufu,+ na ambaye, katika nafsi yake, hana uhitaji wa chochote anachotamani,+ hata hivyo Mungu wa kweli hamruhusu kula kutokana nacho,+ bali mtu aliye mgeni+ tu anaweza kula. Hilo ni ubatili na ni ugonjwa mbaya.