Wimbo wa Sulemani 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msinitazame kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu mwenyewe walinikasirikia; waliniweka kuwa mtunzaji wa mashamba ya mizabibu,+ ijapokuwa sikulitunza shamba langu mwenyewe la mizabibu. Wimbo wa Sulemani Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:6 Mnara wa Mlinzi,1/15/2015, uku. 32 Amkeni!,3/22/1994, uku. 17
6 Msinitazame kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu mwenyewe walinikasirikia; waliniweka kuwa mtunzaji wa mashamba ya mizabibu,+ ijapokuwa sikulitunza shamba langu mwenyewe la mizabibu.