Wimbo wa Sulemani 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Kama mtofaa+ katikati ya miti ya msituni, ndivyo alivyo mpenzi wangu katikati ya wana.+ Kivuli chake nimekitamani sana, na hapo nimekaa chini, na matunda yake yamekuwa matamu kinywani mwangu. Wimbo wa Sulemani Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:3 Mnara wa Mlinzi,11/15/1987, uku. 24
3 “Kama mtofaa+ katikati ya miti ya msituni, ndivyo alivyo mpenzi wangu katikati ya wana.+ Kivuli chake nimekitamani sana, na hapo nimekaa chini, na matunda yake yamekuwa matamu kinywani mwangu.