Wimbo wa Sulemani 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Enyi binti za Sayuni, nendeni nje mtazame Mfalme Sulemani akiwa na shada+ ambalo mama yake+ alimfumia siku ya arusi yake na siku ya moyo wake kushangilia.”+
11 “Enyi binti za Sayuni, nendeni nje mtazame Mfalme Sulemani akiwa na shada+ ambalo mama yake+ alimfumia siku ya arusi yake na siku ya moyo wake kushangilia.”+