Wimbo wa Sulemani 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Nilikuwa nimeshuka kwenda katika bustani+ ya milozi, nione matumba katika bonde la mto,+ nione kama mzabibu ulikuwa umechipuka, kama mikomamanga ilikuwa imechanua.+
11 “Nilikuwa nimeshuka kwenda katika bustani+ ya milozi, nione matumba katika bonde la mto,+ nione kama mzabibu ulikuwa umechipuka, kama mikomamanga ilikuwa imechanua.+