Wimbo wa Sulemani 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Laiti ungekuwa kama ndugu yangu,+ ukinyonya maziwa ya mama yangu!+ Ningekukuta nje, ningekubusu.+ Watu hawangenidharau mimi.
8 “Laiti ungekuwa kama ndugu yangu,+ ukinyonya maziwa ya mama yangu!+ Ningekukuta nje, ningekubusu.+ Watu hawangenidharau mimi.