5 pia juu ya kila mahali palipofanywa imara pa Mlima Sayuni+ na juu ya mahali pake pa mkusanyiko hakika Yehova ataumba wingu wakati wa mchana na moshi, na mwangaza wa moto unaowaka+ wakati wa usiku;+ kwa sababu kutakuwa na kificho juu ya utukufu wote.+