Zaburi 87:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova anapenda zaidi malango ya Sayuni+Kuliko maskani zote za Yakobo.+ Isaya 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na watu wangu watakaa katika makao yenye amani na katika makao ya uhakika kamili na katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.+ Isaya 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tazama Sayuni,+ mji wa pindi zetu za sherehe!+ Macho yako mwenyewe yataliona Yerusalemu likiwa makao yasiyo na usumbufu, hema ambalo hakuna atakayelikunja.+ Vigingi vyake vya mahema havitang’olewa kamwe, wala hata kamba yake moja haitakatwa.+ Isaya 37:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Nami hakika nitalilinda+ jiji hili ili kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+ na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.’”+
18 Na watu wangu watakaa katika makao yenye amani na katika makao ya uhakika kamili na katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.+
20 Tazama Sayuni,+ mji wa pindi zetu za sherehe!+ Macho yako mwenyewe yataliona Yerusalemu likiwa makao yasiyo na usumbufu, hema ambalo hakuna atakayelikunja.+ Vigingi vyake vya mahema havitang’olewa kamwe, wala hata kamba yake moja haitakatwa.+
35 ‘Nami hakika nitalilinda+ jiji hili ili kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+ na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.’”+