Isaya 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Yehova ameniambia hivi: “Nitakaa bila usumbufu na kupatazama mahali pangu palipofanywa imara,+ kama joto linalometameta pamoja na nuru,+ kama wingu la umande katika joto la mavuno.+
4 Kwa maana Yehova ameniambia hivi: “Nitakaa bila usumbufu na kupatazama mahali pangu palipofanywa imara,+ kama joto linalometameta pamoja na nuru,+ kama wingu la umande katika joto la mavuno.+