Isaya 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana kabla ya mavuno, wakati ua linapofikia ukamilifu na ua linapokuwa zabibu inayoiva, lazima mtu pia akate vitawi kwa miundu na kuviondoa vikonyo, lazima avikate.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:5 ip-1 199-200 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:5 Unabii wa Isaya 1, kur. 199-200
5 Kwa maana kabla ya mavuno, wakati ua linapofikia ukamilifu na ua linapokuwa zabibu inayoiva, lazima mtu pia akate vitawi kwa miundu na kuviondoa vikonyo, lazima avikate.+