Isaya 36:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wala msiache Hezekia awafanye ninyi mkamtegemee Yehova,+ na kusema: “Hakika Yehova atatukomboa.+ Jiji hili halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+
15 Wala msiache Hezekia awafanye ninyi mkamtegemee Yehova,+ na kusema: “Hakika Yehova atatukomboa.+ Jiji hili halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+