Isaya 38:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Katika siku hizo Hezekia akawa mgonjwa kufikia hatua ya kufa.+ Basi Isaya+ mwana wa Amozi nabii akaingia kwake na kumwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Wape amri watu wa nyumba yako,+ kwa maana wewe hakika utakufa wala hutaishi.’”+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 38:1 ip-1 394 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 38:1 Unabii wa Isaya 1, uku. 394
38 Katika siku hizo Hezekia akawa mgonjwa kufikia hatua ya kufa.+ Basi Isaya+ mwana wa Amozi nabii akaingia kwake na kumwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Wape amri watu wa nyumba yako,+ kwa maana wewe hakika utakufa wala hutaishi.’”+