Isaya 38:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Makao yangu yameng’olewa+ na kuondolewa kwangu kama hema la wachungaji.Nimeukunja uhai wangu kama mfumaji wa nguo;Mtu fulani ananikatilia mbali+ kutoka kwenye nyuzi za mtande.Tangu mapambazuko mpaka usiku unaendelea kunitoa.+
12 Makao yangu yameng’olewa+ na kuondolewa kwangu kama hema la wachungaji.Nimeukunja uhai wangu kama mfumaji wa nguo;Mtu fulani ananikatilia mbali+ kutoka kwenye nyuzi za mtande.Tangu mapambazuko mpaka usiku unaendelea kunitoa.+