Isaya 47:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nawe uliendelea kusema: “Mpaka wakati usio na kipimo mimi nitakuwa Bimkubwa,+ milele.” Hukuweka mambo haya moyoni mwako; hukukumbuka mwisho wa jambo hilo.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 47:7 ip-2 109-110 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 47:7 Unabii wa Isaya II, kur. 109-110
7 Nawe uliendelea kusema: “Mpaka wakati usio na kipimo mimi nitakuwa Bimkubwa,+ milele.” Hukuweka mambo haya moyoni mwako; hukukumbuka mwisho wa jambo hilo.+