Isaya 49:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nisikilizeni, enyi visiwa,+ na kazeni uangalifu, enyi vikundi vya mataifa vilivyo mbali.+ Yehova mwenyewe ameniita+ tangu tumboni.+ Amelitaja jina langu tangu tumbo la mama yangu.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 49:1 ip-2 136-137 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 49:1 Unabii wa Isaya II, kur. 136-137
49 Nisikilizeni, enyi visiwa,+ na kazeni uangalifu, enyi vikundi vya mataifa vilivyo mbali.+ Yehova mwenyewe ameniita+ tangu tumboni.+ Amelitaja jina langu tangu tumbo la mama yangu.+