Isaya 49:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 49:26 ip-2 150-151 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 49:26 Unabii wa Isaya II, kur. 150-151
26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+