19 Ubaya wako unapaswa kukurekebisha,+ na matendo yako mwenyewe ya kukosa uaminifu yanapaswa kukukaripia.+ Jua, basi, na kuona kwamba kumwacha Yehova Mungu wako ni jambo baya na lenye uchungu,+ nawe hujaingiwa na hofu yangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi.