Yeremia 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Lakini hata ukijiosha kwa magadi na kujichukulia kiasi kikubwa cha sabuni,+ kosa lako hakika lingekuwa doa mbele zangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
22 “‘Lakini hata ukijiosha kwa magadi na kujichukulia kiasi kikubwa cha sabuni,+ kosa lako hakika lingekuwa doa mbele zangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.