Yeremia 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo taifa ambalo watu wake hawakuitii sauti ya Yehova Mungu wake,+ nao hawakushika nidhamu.+ Uaminifu umeangamia, nao umekatiliwa mbali kutoka katika kinywa chao.’+
28 Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo taifa ambalo watu wake hawakuitii sauti ya Yehova Mungu wake,+ nao hawakushika nidhamu.+ Uaminifu umeangamia, nao umekatiliwa mbali kutoka katika kinywa chao.’+