Yeremia 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Ninyi mnawezaje kusema: “Sisi tuna hekima, nasi tuna sheria ya Yehova”?+ Hakika, sasa, kalamu+ ya uwongo ya waandishi imefanya kazi ya uwongo mtupu.
8 “‘Ninyi mnawezaje kusema: “Sisi tuna hekima, nasi tuna sheria ya Yehova”?+ Hakika, sasa, kalamu+ ya uwongo ya waandishi imefanya kazi ya uwongo mtupu.