Yeremia 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa kusudi la kutimiza kiapo nilichowaapia mababu zenu,+ kuwapa nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kama ilivyo leo hii.’”’” Nami nikajibu na kusema: “Amina, Ee Yehova.”
5 kwa kusudi la kutimiza kiapo nilichowaapia mababu zenu,+ kuwapa nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kama ilivyo leo hii.’”’” Nami nikajibu na kusema: “Amina, Ee Yehova.”