Yeremia 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nchi itaendelea kunyauka+ mpaka wakati gani, na majani ya uwanja wote kukauka?+ Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa ndani yake wanyama na viumbe vinavyoruka vimefagiliwa mbali.+ Kwa maana wamesema: “Yeye hauoni wakati wetu ujao.”
4 Nchi itaendelea kunyauka+ mpaka wakati gani, na majani ya uwanja wote kukauka?+ Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa ndani yake wanyama na viumbe vinavyoruka vimefagiliwa mbali.+ Kwa maana wamesema: “Yeye hauoni wakati wetu ujao.”