Yeremia 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Msimlilie aliyekufa,+ wala msimsikitikie. Mlilieni sana yule anayeenda zake, kwa maana hatarudi tena wala kwa kweli hataiona nchi ya jamaa zake.
10 “Msimlilie aliyekufa,+ wala msimsikitikie. Mlilieni sana yule anayeenda zake, kwa maana hatarudi tena wala kwa kweli hataiona nchi ya jamaa zake.