Yeremia 25:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Pigeni mayowe, ninyi wachungaji, na mpaaze kilio!+ Na mgaegae,+ ninyi watu mashuhuri wa kundi,+ kwa sababu siku za kuchinjwa kwenu na za kutawanywa kwenu zimetimia,+ nanyi mtaanguka kama chombo kinachotamanika!+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 25:34 re 283 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:34 Upeo wa Ufunuo, uku. 283 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, kur. 22-23
34 “Pigeni mayowe, ninyi wachungaji, na mpaaze kilio!+ Na mgaegae,+ ninyi watu mashuhuri wa kundi,+ kwa sababu siku za kuchinjwa kwenu na za kutawanywa kwenu zimetimia,+ nanyi mtaanguka kama chombo kinachotamanika!+