Yeremia 25:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ametoka katika maficho yake kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ kwa maana nchi yao imekuwa kitu cha kushangaza kwa sababu ya upanga unaoonea na kwa sababu ya hasira yake inayowaka.”+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:38 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, uku. 23
38 Ametoka katika maficho yake kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ kwa maana nchi yao imekuwa kitu cha kushangaza kwa sababu ya upanga unaoonea na kwa sababu ya hasira yake inayowaka.”+