Hosea 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mimi nitakuwa kama mwana-simba kwa Efraimu+ na kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni kwa nyumba ya Yuda. Mimi, mimi mwenyewe nitararua vipande-vipande nami nitaenda na kuchukulia mbali, na hapatakuwa na mkombozi.+
14 Kwa maana mimi nitakuwa kama mwana-simba kwa Efraimu+ na kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni kwa nyumba ya Yuda. Mimi, mimi mwenyewe nitararua vipande-vipande nami nitaenda na kuchukulia mbali, na hapatakuwa na mkombozi.+