Yeremia 28:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Hanania+ akasema mbele ya macho ya watu wote: “Yehova amesema hivi,+ ‘Hivi ndivyo nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza mfalme wa Babiloni katika muda wa miaka miwili kamili ili itoke shingoni mwa mataifa yote.’”+ Na Yeremia nabii akaenda zake.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 28:11 jr 187-188 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 28:11 Yeremia, kur. 187-188
11 Na Hanania+ akasema mbele ya macho ya watu wote: “Yehova amesema hivi,+ ‘Hivi ndivyo nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza mfalme wa Babiloni katika muda wa miaka miwili kamili ili itoke shingoni mwa mataifa yote.’”+ Na Yeremia nabii akaenda zake.+