Yeremia 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana baada ya kugeuka kwangu nilihisi kujuta;+ na baada ya kujulishwa nililipiga paja kofi.+ Niliona aibu, na pia nikafedheheka,+ kwa maana nilikuwa nimechukua shutuma ya ujana wangu.’”+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 31:19 w12 4/1 11 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 31:19 Mnara wa Mlinzi,4/1/2012, uku. 11
19 Kwa maana baada ya kugeuka kwangu nilihisi kujuta;+ na baada ya kujulishwa nililipiga paja kofi.+ Niliona aibu, na pia nikafedheheka,+ kwa maana nilikuwa nimechukua shutuma ya ujana wangu.’”+