- 
	                        
            
            Yeremia 32:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
8 Baada ya muda Hanameli mwana wa ndugu ya baba yangu akaingia kwangu, kulingana na lile neno la Yehova, ndani ya Ua wa Walinzi,+ naye akaniambia: “Tafadhali, nunua shamba langu lililoko Anathothi,+ lililo katika nchi ya Benyamini,+ kwa maana haki ya fungu la urithi ni yako, na mamlaka ya kukomboa ni yako. Linunue liwe lako.” Ndipo nikajua kwamba hilo lilikuwa neno la Yehova.+
 
 -