9 Na hakika yeye atakuwa kwangu jina la furaha,+ sifa na uzuri kuelekea mataifa yote ya dunia ambayo yatasikia ule wema wote ambao ninawapa.+ Na hakika wao watakuwa na hofu+ na kufadhaika+ kwa sababu ya ule wema wote na kwa sababu ya ile amani yote ambayo ninampa.’”+