Yeremia 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi wakuu+ wote wakatii, na watu wote waliokuwa wameingia katika agano la kwamba kila mtu amwachilie huru mtumishi wake wa kiume na kila mtu mjakazi wake, ili wasiwatumie tena kama watumishi, nao wakatii na kuwaachilia waende zao.+
10 Basi wakuu+ wote wakatii, na watu wote waliokuwa wameingia katika agano la kwamba kila mtu amwachilie huru mtumishi wake wa kiume na kila mtu mjakazi wake, ili wasiwatumie tena kama watumishi, nao wakatii na kuwaachilia waende zao.+