Yeremia 36:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na zaidi ya hayo, mfalme akawaamuru Yerahmeeli mwana wa mfalme na Seraya mwana wa Azrieli na Shelemia mwana wa Abdeeli waende kumleta Baruku mwandishi na Yeremia nabii.+ Lakini Yehova akaendelea kuwaficha.+
26 Na zaidi ya hayo, mfalme akawaamuru Yerahmeeli mwana wa mfalme na Seraya mwana wa Azrieli na Shelemia mwana wa Abdeeli waende kumleta Baruku mwandishi na Yeremia nabii.+ Lakini Yehova akaendelea kuwaficha.+