11 Kwa hiyo Ebed-meleki akawachukua wale watu chini ya usimamizi wake, akaingia katika nyumba ya mfalme mpaka chini ya hazina+ na kuchukua kutoka hapo vitambaa vizee-vizee na vipande vizee-vizee vya nguo na kuvishusha kwa Yeremia ndani ya lile tangi+ kwa kamba.