Yeremia 38:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yeremia akasema: “Hawatakutia mkononi mwao. Tafadhali, itii sauti ya Yehova kwa habari ya mambo ninayokuambia, na itakuwa vema kwako,+ na nafsi yako itaendelea kuishi.
20 Lakini Yeremia akasema: “Hawatakutia mkononi mwao. Tafadhali, itii sauti ya Yehova kwa habari ya mambo ninayokuambia, na itakuwa vema kwako,+ na nafsi yako itaendelea kuishi.