Yeremia 39:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na baadhi ya watu, watu wa hali ya chini ambao hawakuwa na chochote hata kidogo, Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawaacha wabaki katika nchi ya Yuda;+ naye akawapa mashamba ya mizabibu na utumishi wa lazima katika siku hiyo.+
10 Na baadhi ya watu, watu wa hali ya chini ambao hawakuwa na chochote hata kidogo, Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawaacha wabaki katika nchi ya Yuda;+ naye akawapa mashamba ya mizabibu na utumishi wa lazima katika siku hiyo.+