40 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova baada ya Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi kumtoa katika Rama,+ alipomchukua huku akiwa amefungwa kwa pingu za mkononi katikati ya wahamishwa wote wa Yerusalemu na wa Yuda, ambao walikuwa wakipelekwa uhamishoni katika Babiloni.+