Yeremia 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo Yeremia akaja kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu kule Mispa+ na kuanza kukaa pamoja naye katikati ya watu waliobaki katika nchi.
6 Kwa hiyo Yeremia akaja kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu kule Mispa+ na kuanza kukaa pamoja naye katikati ya watu waliobaki katika nchi.