11 Na Wayahudi wote waliokuwa katika Moabu na katikati ya wana wa Amoni na katika Edomu na wale waliokuwa katika nchi nyingine zote,+ wao pia wakasikia kwamba mfalme wa Babiloni amewapa Yuda mabaki na kwamba alikuwa ameweka juu yao Gedalia+ mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani.