Yeremia 40:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Wayahudi wote wakaanza kurudi kutoka mahali pote ambapo walikuwa wametawanywa, nao wakaendelea kuja nchini Yuda kwa Gedalia kule Mispa.+ Nao wakakusanya divai na matunda ya wakati wa kiangazi kwa wingi sana.
12 Na Wayahudi wote wakaanza kurudi kutoka mahali pote ambapo walikuwa wametawanywa, nao wakaendelea kuja nchini Yuda kwa Gedalia kule Mispa.+ Nao wakakusanya divai na matunda ya wakati wa kiangazi kwa wingi sana.