20Basi wana wote wa Israeli wakatoka,+ na kusanyiko likakutanika kama mtu mmoja,+ kutoka Dani+ mpaka Beer-sheba+ pamoja na nchi ya Gileadi,+ likamkutanikia Yehova katika Mispa.+
22 Naye Mfalme Asa akaita Yuda+ wote—hakuna yeyote aliyeachwa—nao wakachukua mawe ya Rama na miti yake, ambayo Baasha alikuwa ametumia kujenga; na kwa vitu hivyo Mfalme Asa akaanza kujenga Geba+ katika Benyamini, na Mispa.+