17 Na itakuwa kwamba watu wote ambao wamekaza nyuso zao kuingia Misri ili kukaa huko wakiwa wageni ndio watakaokufa kwa upanga, kwa njaa na kwa tauni;+ nao hawatakuwa na mwenye kuokoka wala mwenye kuponyoka, kwa sababu ya ule msiba ambao ninaleta juu yao.”’+