14 Na hakutakuwa na yeyote mwenye kuponyoka wala mwenye kuokoka kwa mabaki wa Yuda wanaoingia ili kukaa humo wakiwa wageni, katika nchi ya Misri,+ wa kurudi katika nchi ya Yuda ambayo wanaitamani kwa nafsi yao ili warudi kukaa humo;+ kwa maana hawatarudi, ila tu watu fulani walioponyoka.’”