Yeremia 44:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na tangu tulipoacha kumfukizia ‘malkia wa mbingu’+ moshi wa dhabihu na kummiminia matoleo ya kinywaji tumekosa kila kitu, nasi tumemalizika kwa upanga na kwa njaa.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 44:18 w99 5/15 13-14 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 44:18 Mnara wa Mlinzi,5/15/1999, kur. 13-14
18 Na tangu tulipoacha kumfukizia ‘malkia wa mbingu’+ moshi wa dhabihu na kummiminia matoleo ya kinywaji tumekosa kila kitu, nasi tumemalizika kwa upanga na kwa njaa.+