Yeremia 46:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na zaidi, askari-jeshi wake waliokodiwa walio katikati yake ni kama ndama waliononeshwa.+ Lakini wao pia wamerudi nyuma;+ wamekimbia pamoja. Hawakusimama.+ Kwa maana ile siku ya msiba wao imekuja juu yao, wakati wa kuwakazia fikira.’+
21 Na zaidi, askari-jeshi wake waliokodiwa walio katikati yake ni kama ndama waliononeshwa.+ Lakini wao pia wamerudi nyuma;+ wamekimbia pamoja. Hawakusimama.+ Kwa maana ile siku ya msiba wao imekuja juu yao, wakati wa kuwakazia fikira.’+