Yeremia 48:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nami nitatuma kwao watu wanaoinamisha chombo, nao hakika watawainamisha;+ nao watamwaga kilicho ndani ya vyombo vyao, na mitungi yao mikubwa wataivunja vipande-vipande.
12 “‘Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nami nitatuma kwao watu wanaoinamisha chombo, nao hakika watawainamisha;+ nao watamwaga kilicho ndani ya vyombo vyao, na mitungi yao mikubwa wataivunja vipande-vipande.