Yeremia 48:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “‘Yaacheni majiji, mkae juu ya mwamba,+ ninyi wakaaji wa Moabu, na muwe kama njiwa ambaye hujenga kiota chake katika maeneo ya kinywa cha shimo.’”+
28 “‘Yaacheni majiji, mkae juu ya mwamba,+ ninyi wakaaji wa Moabu, na muwe kama njiwa ambaye hujenga kiota chake katika maeneo ya kinywa cha shimo.’”+